Makamu Mkuu wa Chuo, Prof. Lughano Kusiluka, anasikitika kutangaza kifo  cha Mfanyakazi Mwenzetu, Bw. ALOYCE PAUL MAZIKU – Mhadhiri kwenye Skuli ya Biashara, kilichotokea tarehe 19 Septemba, 2021 katika hospsitali ya Aghakan, Dar es Salaam.

Kwa taarifa zaidi,Bofya hapa

 
 
Mzumbe University,
P.O Box 1 Mzumbe,
Morogoro, Tanzania.
Tel: 255 (0) 23 2931220/1/2
Fax: 255 (0) 23 2931216
Cell: 255 (0) 754694029
Email: .
Go to top