Makamu Mkuu wa Chuo, Prof. Lughano Kusiluka, anasikitika kutangaza kifo cha Mfanyakazi Mwenzetu, Bw. ALOYCE PAUL MAZIKU – Mhadhiri kwenye Skuli ya Biashara, kilichotokea tarehe 19 Septemba, 2021 katika hospsitali ya Aghakan, Dar es Salaam.
Kwa taarifa zaidi,Bofya hapa